Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof Elisante Gabriel amemteua Zamaradi Kawawa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari - Maelezo.
Kawawa ameteuliwa kushika wadhifa huo baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari – Maelezo, Assah Mwambene kuhamishiwa Wizara ya Mambo ya NJe Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa ambapo atapangiwa kazi nyingine.
Kawawa ameteuliwa kushika wadhifa huo baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari – Maelezo, Assah Mwambene kuhamishiwa Wizara ya Mambo ya NJe Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa ambapo atapangiwa kazi nyingine.
Post a Comment