ZAMARADI KAWAWA ATEULIWA KUWA KAIMU MKURUGENZI WA IDARA YA HABARI- MAELEZO.

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof Elisante Gabriel amemteua Zamaradi Kawawa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari - Maelezo.

Kawawa ameteuliwa kushika wadhifa huo baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari – Maelezo, Assah Mwambene kuhamishiwa Wizara ya Mambo ya NJe Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa ambapo atapangiwa kazi nyingine.



Post a Comment

Previous Post Next Post