MATUKIO RAIS, AMIRI JESHI MKUU DKT. SAMIA AKIZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA (MMUT)

 

Akipigiwa wimbo wa Taifa na baadaye kupigwa mizinga.
Akikagua gwaride la vikosi vya ulinzi.


Baadhi ya waambata wa majeshi wanaoziwakilisha nchi zao nchini.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Maafisa Askari, Watumishi wa umma na wageni mbalimbali waliohudhuria uzinduzi












 



Post a Comment

Previous Post Next Post