Barabara ya Kimataifa kati ya Kasulu Mjini na Manyovu (Kilometa 68.24) inayoendelea kujengwa kwa kiwango cha lami kuunganisha Tanzania (Kigoma) na Burundi.
Mradi huu, ambao umegawanyika katika hatua nne, kwanza ni Manyovu - Kasulu (Kilometa 68.25), pili ni Kidyama-Mvugwe (Kilometa 70.5), tatu ni Mvugwe – Nduta (Kilometa 59) na nne ni Nduta-Kabingo (Kilometa 62.25), unatarajia kukamilika mnano Machi 2025.
Chanzo @ Kigoma Region Tanzania.
Post a Comment