Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ametia saini mkataba wa nchi yake kujiunga rasmi kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Kiir ametia saini mkataba huo jijini Dar es Salaam mbele ya mwenyeji wake, Rais wa Tanzania John Magufuli, ambaye kwa sasa ndiye mwenyekiti wa jumuiya hiyo.
Viongozi wa nchi za jumuiya hiyo waliidhinisha kukubaliwa kwa Sudan Kusini kujiunga na jumuiya hiyo kwenye mkutano mkuu uliofanyika mjini Arusha mwezi uliopita.
Sudan Kusini itakuwa nchi ya sita kujiunga na jumuiya hiyo iliyoanza kwa nchi tatu Tanzania, Kenya na Uganda. Rwanda na Burundi zilijiunga na jumuiya hiyo baadaye.
Baada ya kujiunga rasmi leo, Sudan Kusini inatarajiwa kufungua mipaka yake kwa ajili ya biashara. Tayari kampuni na asasi nyingi za kifedha kutoka Kenya zimefungua biashara nchini Sudan Kusini.
Wengi wanatarajia hatua ya leo itafungua fursa zaidi za kibiashara kati ya Sudan Kusini na nchi wanachama wa jumuiya.
Wadadisi wengine wanaamini kuwa baadhi ya miradi ambayo Sudan Kusini ingetaka kujumuishwa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki ni miundo msingi ikiwemo reli na mabomba ya mafuta.
=========================
South Sudan Signs EAC Accession Treaty
South Sudan President Salva Kiir and his Tanzanian counterpart John Pombe Magufuli who is also the Chairperson of the East African Community (EAC) Heads of State Summit have today signed the Treaty of Accession into the Community.
The event was held in Dar es Salaam, Tanzania.
At their 17th Ordinary Summit held on 2nd March, 2016 in Arusha, Tanzania, the EAC Heads of State received the report of the Council of Ministers on the negotiations for the admission of South Sudan into the Community as a new member.
The Summit then designated the Chairperson to sign the Treaty of Accession with South Sudan.
South Sudan’s admission brings to six, the number of EAC member states with a population of 162 million people.
This implies that South Sudan now formerly joins Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda and Burundi and it will be part of the regional integration projects that have been the subject of discussion among member countries.
Source: kfm.co.ug
Rais Kiir ametia saini mkataba huo jijini Dar es Salaam mbele ya mwenyeji wake, Rais wa Tanzania John Magufuli, ambaye kwa sasa ndiye mwenyekiti wa jumuiya hiyo.
Viongozi wa nchi za jumuiya hiyo waliidhinisha kukubaliwa kwa Sudan Kusini kujiunga na jumuiya hiyo kwenye mkutano mkuu uliofanyika mjini Arusha mwezi uliopita.
Sudan Kusini itakuwa nchi ya sita kujiunga na jumuiya hiyo iliyoanza kwa nchi tatu Tanzania, Kenya na Uganda. Rwanda na Burundi zilijiunga na jumuiya hiyo baadaye.
Baada ya kujiunga rasmi leo, Sudan Kusini inatarajiwa kufungua mipaka yake kwa ajili ya biashara. Tayari kampuni na asasi nyingi za kifedha kutoka Kenya zimefungua biashara nchini Sudan Kusini.
Wengi wanatarajia hatua ya leo itafungua fursa zaidi za kibiashara kati ya Sudan Kusini na nchi wanachama wa jumuiya.
Wadadisi wengine wanaamini kuwa baadhi ya miradi ambayo Sudan Kusini ingetaka kujumuishwa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki ni miundo msingi ikiwemo reli na mabomba ya mafuta.
=========================
South Sudan Signs EAC Accession Treaty
South Sudan President Salva Kiir and his Tanzanian counterpart John Pombe Magufuli who is also the Chairperson of the East African Community (EAC) Heads of State Summit have today signed the Treaty of Accession into the Community.
The event was held in Dar es Salaam, Tanzania.
At their 17th Ordinary Summit held on 2nd March, 2016 in Arusha, Tanzania, the EAC Heads of State received the report of the Council of Ministers on the negotiations for the admission of South Sudan into the Community as a new member.
The Summit then designated the Chairperson to sign the Treaty of Accession with South Sudan.
South Sudan’s admission brings to six, the number of EAC member states with a population of 162 million people.
This implies that South Sudan now formerly joins Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda and Burundi and it will be part of the regional integration projects that have been the subject of discussion among member countries.
Source: kfm.co.ug


Post a Comment