Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe.
Na Mwandishi wetu.
Kutokana na shtuma hizo ameamua kumuandikia spika kumtaka achunguze na kuchukua hatua.
Kauli yake ianapatikana hapa chini;
"Kuna tuhuma za rushwa dhidi ya Kamati mbalimbali za Bunge ikiwemo kamati ninayohudumu. Nimemwandikia Spika Kuomba Uchunguzi juu Ya tuhuma hizo na kwamba achukue hatua kali dhidi ya yeyote atakayekutwa kuhusika na vitendo vya rushwa. Nimejiuzulu Ujumbe wa Kamati ili Kutoa Nafasi Ya Uchunguzi Husika." Zitto Kabwe
Zitto Kabwe amechukua uamuzi huu baada ya leo Gazeti la Mtanzania kuandika tuhuma zenye ushahidi juu ya rushwa kwa kamati mbalimbali za Bunge ikiwepo Kamati ya Zitto Kabwe.Uamuzi huu umekuja ili kuenzi falsafa ya chama cha ACT ambayo ni UTU,UZALENDO NA UADILIFU.
Post a Comment