AJALI AJALI: MSAFARA WA WABUNGE WA MKOA WA PWANI WAPATA AJALI MBAYA.

Msafara wa Wabunge wa Mkoa wa Pwani na RAS na Kamati ya TAMISEMI umepata ajali Bagamoyo - Kerege

Magari mawili yamegongwa na Lori, Gari na Mkurugenzi wa Bagamoyo na Gari la TASAF Bagamoyo.

Madereva wote wawili wa hizo gari wamefariki hapo hapo na Afisa Mipango naye amefariki.

Majeruhi wamekimbizwa Muhimbili hali mbaya.
                                                   Source JamiiForums

Post a Comment

Previous Post Next Post