MWANDOSYA AMWAKILISHA RAIS KUSIMIKWA KWA ASKOFU KIGOMA

  Askofu wa Kanisa Katoliki  Jimbo la Kigoma, Joseph Mlola akipongezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Asie na Wizara Maalum), Prof Mark Mwandosya alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye ibada ya kusimikwa kwa askofu huyo iliyofanyika katika Kanisa Kuu Katoliki Kigoma, jana. 
                                                                                     Na Mpigapicha wetu- Kigoma

Post a Comment

Previous Post Next Post